>

Maaskofu wakatoliki wakosoa uamuzi wa mahakama ya upeo kuhusu mapenzi ya jinsia moja

2 months ago 55
SHARE THIS POST


Uamuzi wa mahakama ya upeo kuhusu wapenzi wa jinsia moja kusajili mashirika yao unazidi kuibua pingamizi. Baraza la maaskofu w akanisa katoliki na walimu wakuu wamepinga uamuzi huo na kushinikiza uangaliwe upya wakisema uhanatarisha maadili.
Source : Kenya CitizenTV

SHARE THIS POST