>

Viongozi wa makanisa wakutana na Raila Odinga, Nairobi

2 months ago 36
SHARE THIS POST


Katika juhudi za kutafuta suluhu kufuatia maandamano yanayoendelezwa na upinzani nchini, viongozi wa kanisa katoliki wamefanya mkutano na vinara wa Azimio hapa Nairobi.
Source : Kenya CitizenTV

SHARE THIS POST